Thursday, July 12, 2012

Matumizi ya asali katika tasnia ya urembo (the use of honey in the beauty industry)
                Asali inatibu chunusi (honey treats acne)


Mazao asilia ya mimea na matunda vilevile mazao yanayotoka kwa wanyama ni njia salama zaidi ya kutibu chunusi.lakini pia asali ni njia nzuri ya kutibu chunusi, kuondoa mabaka na kufa

nya ngozi yako iwe laini.


Mchanganyiko wa asali na mdalasini yanaweza kutumika kutibu chunusi

Hapa ni jinsi ya kutumia asali na mdalasini kutibu chunusi: Chunusi ni tatizo linalowasumbua watu wa umri mbalimbali, vijana kwa watu wazima na jinsia zote, matumizi

Asali kijiko kimoja, unga wa mdalasini kijiko kimoja, changanya vizuri kisha upake eneo lililo athirika safisha uso na maji ya uvuguvugu baada ya dakika ishirini.




Tafadhali kumbuka
fanya  hivyo mwenyewe. Kama utasikia ngozi kuwasha tafadhali acha kutumia.Dawa hii inaweza kufanya kazi kwa kila mtu. Tiba hii hufanya kazi  kwa aina mbalimbali ya ngozi.


Unaweza pia ukalala na kipako ulichopaka yaani mchanganyiko uliouandaa baada yakukauka kisha asubuhi ukaosha uso kwa maji ya uvuguvugu.







No comments:

Post a Comment